Nungwi asanteni sana-Dkt.Mwinyi

Dkt.Hussein Ali Mwinyi ambaye anaungwa mkono kwa kishindo, ameendelea kuwa kiongozi mwenye dira, anayejali maendeleo ya wananchi na anayeheshimu misingi ya uwazi, uwajibikaji na ushirikishwaji wa wananchi katika kila hatua ya maendeleo.
Kwa umoja na mshikamano uliodhihirika huko Nungwi, ujumbe umetumwa wazi kuwa wananchi wako tayari kuendelea kuijenga Zanzibar kwa msingi wa amani, maendeleo na usawa chini ya Dkt.Mwinyi kupitia CCM.

#ChaguaCCM ✅
#ChaguaDktMwinyi ✅
#UongoziUnaoachaAlama

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news