Magazeti leo Januari 2,2026

WATU 10 wamefariki dunia na wengine 18 kujeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyotokea usiku wa kuamkia leo January Mosi 2026 katika eneo la Mwidu Mikese, mkoani Morogoro.
Ajali hiyo ilihusisha basi dogo na lori la mizigo imetokea katika Kijiji cha Maseyu, Kata ya Gwata, Wilaya ya Morogoro.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro ajali hiyo imetokea baada ya basi dogo lenye namba za usajili T 162 DMD, lililokuwa likiendeshwa na dereva aitwaye Sherehe Juma, kugongana na lori la mizigo aina ya HOWO lenye namba za usajili T 956 ELU na tela namba T 828 ELW.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here