Magazeti leo Februari 23,2026

Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Young Africans Sports Club, wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu uliochezwa kwenye Uwanja wa Namungo.
Bao pekee la mchezo huo lilifungwa dakika ya 25 na nyota mpya wa Yanga, Laurindo Aurelio (Depu), na kuipa timu hiyo pointi tatu muhimu.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here