Waziri wa Fedha ateta na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia

DAR-Waziri wa Fedha,Mheshimiwa Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia, anayeziwakilisha pia nchi za Malawi,Zambia na Zimbabwe, Bw. Nathan Belete, Ofisini kwake katika Ofisi Ndogo za Wizara ya Fedha jijini Dar es Salaam, ambapo wamejadili kuhusu utekelezaji wa programu na miradi ya kiuchumi na kijamii inayofadhiliwa na benki hiyo.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here