Mbunge wa Viti Maalumu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mary Daniel Surati, ameshauri kuanzishwa kwa benki maalumu ya vijana ili kukabiliana na changamoto za kifedha zinazowakabili kundi hilo nchini.
Surati ametoa ushauri huo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia makadirio ya matumizi ya Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana kwa mwaka wa fedha 2026/2027.
Surati ametoa ushauri huo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia makadirio ya matumizi ya Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana kwa mwaka wa fedha 2026/2027.Amesisitiza kuwa uwepo wa benki hiyo utasaidia kuongeza uelewa wa masuala ya kifedha kwa vijana, kuboresha upatikanaji wa mikopo nafuu, na hatimaye kuchochea maendeleo ya kiuchumi kwa kundi hilo muhimu katika jamii.
Tags
Kurasa za Magazeti
Kurasa za Mbele na Nyuma za Magazeti
Magazeti
Magazeti ya Leo
Magazetini
Magazetini leo
Yaliyojiri Magazetini Leo

















