Magazeti leo Aprili 30,2026

Mwenyekiti wa AAPAM Tawi la Tanzania , Bi. Leila Mavika, ametangaza kufanyika kwa Mkutano Mkuu wa Pili wa Mwaka wa Jumuiya ya Wataalamu wa Usimamizi wa Rasilimaliwatu na Utawala katika Utumishi wa Umma, utakaoanza Mei 5 hadi 8, 2026 jijini Arusha.Akizungumza na waandishi wa habari Aprili 28, 2026, Bi. Mavika amesema mkutano huo unalenga kuwakutanisha wataalamu wa utawala wa umma na usimamizi wa rasilimaliwatu ili kujadili mbinu bora za kuboresha utendaji kazi na utoaji wa huduma kwa wananchi.

Amesema mkutano huo utaongozwa na kaulimbiu isemayo “Kufikiri upya utoaji wa huduma kwa Umma: Jinsi Serikali inavyoweza kutumia Teknolojia kuanzisha huduma bora na zinazolenga wananchi, kukabiliana na ukosefu wa ajira kwa vijana na changamoto za mazingira.”

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here