Magazeti leo Mei 29,2026

Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu ya Vijana ya Tanzania, Serengeti Boys, imefanikiwa kutinga hatua ya fainali ya Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya miaka 17 (AFCON U-17) baada ya kuiondoa Misri katika mchezo wa nusu fainali kwa mikwaju ya penalti, kufuatia mchezo huo kumalizika kwa sare tasa.
Serengeti Boys ilifanikiwa kushinda kwa penalti 4-3 katika mchezo huo wa nusu fainali.

Kutokana na matokeo hayo, Serengeti Boys katika mchezo wa fainali watacheza dhidi ya Senegal, ambayo iliiondoa Morocco katika mchezo mwingine wa nusu fainali.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here