Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu ya Vijana ya Tanzania, Serengeti Boys, imefanikiwa kutinga hatua ya fainali ya Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya miaka 17 (AFCON U-17) baada ya kuiondoa Misri katika mchezo wa nusu fainali kwa mikwaju ya penalti, kufuatia mchezo huo kumalizika kwa sare tasa.
Kutokana na matokeo hayo, Serengeti Boys katika mchezo wa fainali watacheza dhidi ya Senegal, ambayo iliiondoa Morocco katika mchezo mwingine wa nusu fainali.
Tags
Kurasa za Magazeti
Kurasa za Mbele na Nyuma za Magazeti
Magazeti
Magazeti ya Leo
Magazetini
Magazetini leo
Yaliyojiri Magazetini Leo





























