Waziri Mkuu, Mheshimiwa Dkt.Mwigulu Nchemba akiteta jambo na Mwanasheria Mkuu wa Serikali bungeni jijini Dodoma leo

DODOMA-Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu L. Nchemba (Mb) akijadiliana jambo na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari, wakati wa Hotuba ya Bajeti ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maji inayoendelea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dodoma.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali amehudhuria Bunge la 13, Mkutano wa 3, Kikao cha 23 Bungeni jini, Dodoma tarehe 6 Mei, 2026.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here