Serikali ya Tanzania na Marekani zimesaini Hati ya Makubaliano ya Ushirikiano katika Sekta ya Afya (MoU) ya miaka mitano yenye thamani ya zaidi ya dola za Marekani bilioni 3.14, hatua inayotarajiwa kuimarisha mfumo wa huduma za afya nchini huku ikijenga msingi wa kujitegemea katika utoaji wa huduma hizo.
Makubaliano hayo yatatekelezwa kuanzia mwaka 2026 hadi 2030 kupitia uwekezaji wa pamoja wa Serikali ya Tanzania na Serikali ya Marekani.
Tags
Kurasa za Magazeti
Kurasa za Mbele na Nyuma za Magazeti
Magazeti
Magazeti ya Leo
Magazetini
Magazetini leo
Yaliyojiri Magazetini Leo













