Magazeti leo Julai 2,2026

Serikali ya Tanzania na Marekani zimesaini Hati ya Makubaliano ya Ushirikiano katika Sekta ya Afya (MoU) ya miaka mitano yenye thamani ya zaidi ya dola za Marekani bilioni 3.14, hatua inayotarajiwa kuimarisha mfumo wa huduma za afya nchini huku ikijenga msingi wa kujitegemea katika utoaji wa huduma hizo.
Makubaliano hayo yatatekelezwa kuanzia mwaka 2026 hadi 2030 kupitia uwekezaji wa pamoja wa Serikali ya Tanzania na Serikali ya Marekani.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here