Muonekano wa kalvat linalojengwa kuunganisha barabara za mzunguko katika mji wa Serikali Mtumba mkoani Dodoma.
Mtaalam wa ujenzi wa viwanja vya ndege, Mhandisi Focus Kadeghe akifafanua jambo kwa wahandisi kutoka Bodi ya Usajili wa Wahandisi nchini (ERB), walipokagua ukarabati wa kiwanja cha ndege cha Dodoma.
Muonekano wa barabara zinazojengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Serikali Mtumba mkoani Dodoma.
Msajili wa Bodi ya Wahandisi nchini (ERB),Mhandisi Patrick Barozi akifafanua jambo alipokagua mradi wa ujenzi wa barabara katika mji wa Serikali Mtumba mkoani Dodoma leo Septemba 25,2020.
Tags
Picha