Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 25,2024

MOROGORO-Watoto wawili wa familia moja wanaoishi Mtaa Mkwajuni, Manispaa ya Morogoro wamefariki dunia baada ya kutumbukia na kuzama kwenye shimo llinalodhaniwa la choo lilolojaa maji.

Mwenyekiti wa Mtaa wa Mkwajuni, Juma Bilali amesema tukio hilo lilitokea saa 12 jioni Aprili 23, 2024 na kuwataja watoto hao kuwa ni Neema Emmanuel (11), mwanafunzi wa darasa la nne na Glory Geitan (12), mwanafunzi wa darasa la tano wote walikuwa wakisoma Shule ya Msingi Mindu.























Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news