Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 24,2024

DAR ES SALAAM-Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imeanza kutoa huduma mpya ya kufuatilia mgonjwa akiwa nyumbani kupitia shuka yenye kifaa maalum itakayoonesha mapigo ya moyo na kiwango cha presha cha mgonjwa kwa wataalamu wa afya wa JKCI.

Hayo yamesemwa Aprili 23,2024 mbele ya Wanahabari na Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI, Dkt.Richard Kisenge ambapo amesema kupitia huduma mpya inayoitwa Home Base Care wahudumu wa JKCI watakuwa wanahudumia wagonjwa wakiwa nyumbani.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news