CHADEMA waisimamisha Karatu, Mgombea Mwenza Salim Mwalimu amuombea Tundu Lissu kura




Maelfu ya wananchi wakiwa wamemsimamisha Mgombea Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Salim Mwalimu katika mji wa Karatu leo Septemba 15, 2020 wakati akielekea katika Kijiji cha Basodawish wilayani Karatu kwa ajili ya kumuombea kura Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu ambaye yupo Nyanda za Juu Kusini akiendelea kuomba kura kuelekea Oktoba 28, mwaka huu.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news