Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu akutana na Kamati za Maendeleo


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Wajumbe wa Kamati za Maendeleo za Kizimkazi Mkunguni, Kizimkazi Dimbani na Kibuteni pamoja na Watendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kusini Unguja, lengo la kikao hicho ni kutathmini Miradi mbalimbali ya maendeleo kwa kipindi kilichopita na kipindi kijacho. kikao hicho kimefanyika leo Januari 07, 2021 katika Ukumbi wa mikutano wa Shule ya Sekondari Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news