Rais Magufuli aivunja Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.John Pombe Joseph Magufuli ameivunja Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam kuanzia leo tarehe 24 Februari,2021, anaripoti Mwandishi Diramakini (Dar es Salaam).

Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo ametoa taarifa hiyo jioni ya leo kwenye Ofisi ndogo ya Ofisi ya Rais TAMISEMI Magogoni Jijini Dar Es Salaam.
 
“Hii ni kwa mamlaka aliyonayo chini ya Kifungu cha 84 cha Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Miji) sura ya 288,”amesema Waziri Mhe.Jafo.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news