Nabii Dkt.Joshua:Njoo urudishe furaha ya kudumu katika maisha yako

NA MWANDISHI DIRAMAKINI

RAIS wa New Covenant Unity International (NCUI) ambaye pia ni Kiongozi wa Huduma ya Sauti ya Uponyaji Tanzania yenye makao yake makuu Yespa, Kihonda mjini Morogoro, Nabii Dkt.Joshua Aram Mwantyala ametangaza siku mbili za kurudisha furaha ya kudumu kwa Watanzania wote.
Dkt.Joshua ni kati ya watumishi wachache wa Mungu ambao, Mungu amewapa karama ya kipekee ya kuwaombea wagonjwa, waliofungwa katika vifungo vya shetani na kupokea uponyaji wa papo kwa papo.

"Njoo urudishe furaha yako Januari 1 na 2,2022 hapa Morogoro mjini kwa Nabii Joshua +255742121212 / +255742141414.Ni siku mbili mbili za kuondoa yanayokutesa na kukurejeshea furaha kwa jina la Yesu,"amesema Dkt.Joshua.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news