Breaking news: Dkt.Shika mzee wa 900 itapendeza afariki dunia

MTANZANIA aliyejipatia umaarufu mkubwa mitandaoni, Dkt.Louis Shika amefariki.

Kwa mujibu wa habari zilizotufikia muda huu kutoka Hospitali ya Nyanguge Wilaya ya Magu mkoani Mwanza, zimethibitisha kufariki kwa Dkt.Shika ambaye umaarufu aliupata baada ya kutangaza kutaka kununua nyumba za mnada za Kigamboni kwa bei ya Milioni 900 au Mia tisa itapendeza zaidi. Habari zaidi zitakujia punde www.diramakini.co.tz

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here