Mgombea ubunge Jimbo la Siha kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Godwin Mollel akisaini, kitabu cha orodha ya wagombea cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi, mara baada ya kuchukua fomu, kwa msimamizi wa uchaguzi, kuomba kuteuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho.Picha na www.diramakini.co.tz
|