DR.GODWIN MOLLEL: TUPO PAMOJA, ILA WAFAHAMU TUNAWAJUA WOTE, SIHA NI MAPEMA TU


Mgombea ubunge Jimbo la Siha kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Godwin Mollel akisaini, kitabu cha orodha ya wagombea cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi, mara baada ya kuchukua fomu, kwa msimamizi wa uchaguzi, kuomba kuteuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho.Picha na www.diramakini.co.tz

 
Dkt. Godwin Mollel baada ya kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa na tume. Video na www.diramakini.co.tz
Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Siha, Stephano Ndaki, akimkabidhi fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea ubunge katika jimbo hilo, Mgombea ubunge kupitia CCM, Dkt.Godwin Mollel.Picha na www.diramakini.co.tz

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news