Magazeti leo Januari 29,2026

Kampuni ya ALAF Tanzania imezindua rasmi Tuzo ya Kiswahili ya Safal ya Fasihi ya Afrika kwa mwaka wa 2025, ambapo wanaotarajiwa kushiriki shindano hilo wametakiwa kuwasilisha kazi zao kwa ajili ya kupitiwa na majaji.Hii ni tuzo ya 10 tangu kuanzishwa kwake 2015 na inafadhiliwa na kampuni ya ALAF.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusiana na swala hilo, Meneja wa Mawasiliano na Uhusiano wa ALAF Limited Tanzania, Hawa Bayumi alisema tuzo hiyo inaendelea kukua huku ikivutia washiriki wengi kutoka sehemu mbalimbali duniani.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here