NEC yamuidhinisha mgombea wa nane nafasi ya urais

MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania wa Chama cha ACT Wazalendo, Bernard Membe na Mgombea Mwenza, Prof. Omar Faki Hamad wameidhinishwa na tume.

Mgombea huyo anakuwa wa nane baada ya wengine akiwemo kutoka CCM, ADA Tadea, SAU, NRA, Demokrasia Makini, NCCR Mageuzi na DP kuidhinishwa mapema jijini Dodoma na Tume ya Taifa ya Uchaguzi chini ya Mwenyekiti wake, Jaji mstaafu Semistocles Kaijage.

Kwa habari au matangazo (diramakini@gmail.com) www.diramakini.co.tz

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news