Magazeti leo Desemba 8,2025

JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani limekusanya Sh bilioni 2.2 kutokana na faini za papo kwa papo kutokana na makosa ya usalama barabarani katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.


























Aidha, madereva 38 walifungiwa leseni zao kwa makosa mbalimbali ya usalama barabarani.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini Kibaha, Kamanda wa Polisi wa mkoa huo, Salim Morcase alisema fedha hizo zilizotokana na faini walizopigwa madereva kwenye maeneo mbalimbali.

Morcase alisema kuwa, waliweza kukamata makosa 74,446 ambayo yalifanywa na madereva na kupigwa faini za papo hapo katika kipindi hicho cha Septemba hadi Novemba mwaka huu.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here