HATUA ZA KUCHUKUA KWA KAMATI ZA USIMAMIZI WA MAAFA NA SEKTA MBALIMBALI KUTOKANA NA UTABIRI WA MVUA ZA MSIMU



Ofisi ya Waziri Mkuu ina jukumu la kuratibu shughuli za maafa kwa kuhakikisha Wizara, Idara,  Taasisi,  Mamlaka  za  Mikoa na Serikali  za  Mitaa pamoja na asasi zote zisizo za kiserikali zinashiri kikikamilifu katika kuzuia, kupunguza madhara na kujiandaa kukabiliana na kurejesha hali kwa mujibu wa Sheria ya Menejimenti ya Maafa namba 7 ya mwaka 2015.

Hivyo, kufuatia utabiri wa mwelekeo wa mvua za msimu katika kipindi cha miezi ya Novemba, 2020 hadi Aprili, 2021 uliotolewa leo na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania imeonekana kuna haja ya Serikali na wadau wengine kuchukua hatua...








Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here