Ukweli upo hivi, Manchester United wamejuta kucheza ndani ya Old Trafford dhidi ya Tottenham leo Oktoba 4,2020, anaripoti Mwandishi Diramakini.
Ni baada ya kujikuta katika wakati mgumu kwa kufungwa goli 6-1 na Tottenham ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Soka England.
Manchester United imefungwa magoli manne katika kipindi cha kwanza....
Manchester United chini ya Ole Gunnar Solskjaer waliwachokoza Spurs kwa bao la Bruno Fernandes kwa penalti 2'.
Tottenham ikazinduka kwa mabao ya Tanguy Ndombele 4', Heung-min Son mabao mawili 7' 37', Harry Kane 30' na 79' kwa penalti na Serge Aurier 51' hiyo ikawa ndiyo historia ya nusu dazeni.
Ni baada ya kujikuta katika wakati mgumu kwa kufungwa goli 6-1 na Tottenham ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Soka England.
Manchester United imefungwa magoli manne katika kipindi cha kwanza....
Tottenham ikazinduka kwa mabao ya Tanguy Ndombele 4', Heung-min Son mabao mawili 7' 37', Harry Kane 30' na 79' kwa penalti na Serge Aurier 51' hiyo ikawa ndiyo historia ya nusu dazeni.