Magazeti leo Desemba 17,2025

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mnamo Desemba 16, 2025, imekamata shehena kubwa ya mafuta ya kupikia ya magendo, jumla ya madumu 23,755, yaliyokuwa yakiingizwa nchini kinyume na taratibu kupitia Bandari ya Kunduchi, jijini Dar es Salaam.
Kamishna Mkuu wa TRA, Bw. Yusuph Juma Mwenda, akizungumza mara baada ya zoezi hilo na kueleza kuwa bidhaa hizo za magendo zimekuwa tishio kwa uchumi wa nchi, kwa kuwa zinapunguza mapato ya serikali na kudhoofisha ukuaji wa viwanda vya ndani.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news