Utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku wa leo Oktoba 27, 2020 unaletwa na mchambuzi Godfrey Kazinja kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA).
Kwa mujibu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), mikoa ya Ziwa Victoria pamoja na maeneo ya Magharibi mwa nchi yanatarajiwa kuwa na
hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo machache na
vipindi vya jua.
Tags
Habari
