Rais mteule Joe Biden, Kamala wakutana na Kamati ya COVID-19

Novemba 9, 2020 Rais Mteule wa Marekani, Joe Biden na Makamu wake wa Rais Kamala Harris walikutana na Kamati Maalum ya Kuupatia Ufumbuzi Ugonjwa wa Virusi vya Corona (COVID-19) ambayo inajumuisha wanasayansi na wataalam wa afya ikiwa na dhamira ya Mpango wa Biden-Harris dhidi ya COVID-19 wa kuhitimisha virusi hivyo ambavyo vimeua maelfu ya Wamarekaini kabla ya kuapishwa rasmi Januari 20,2021. Mkutano huo umefanyika kwa njia ya mtandao. [VPO/DIRAMAKINI].

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news