KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Murilo amesema, hali ya usalama katika jiji hilo kwa sasa ni shwari, akieleza kuwa mafanikio hayo yanatokana na jitihada za pamoja kati ya Jeshi la Polisi na wananchi.
Tags
Kurasa za Magazeti
Kurasa za Mbele na Nyuma za Magazeti
Magazeti
Magazeti ya Leo
Magazetini
Magazetini leo
Yaliyojiri Magazetini Leo

















