MATARAJIO YA HALI MBAYA YA HEWA




ALHAMISI 21-01-2021 


ANGALIZO la mvua kubwa limetolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kwa baadhi ya maeneo ya mikoa ya Lindi, Mtwara, Kusini mwa mkoa wa Morogoro, Iringa, Njombe na Ruvuma.


UWEZEKANO WA KUTOKEA: WASTANI

KIWANGO CHA ATHARI ZINAZOWEZA KUTOKEA: WASTANI


ANGALIZO la upepo mkali unaofikia kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayofikia mita 2, limetolewa kwa baadhi ya maeneo ya pwani ya Bahari ya Hindi (mikoa ya Tanga, Dar es salaam, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Lindi na Mtwara pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba.


UWEZEKANO WA KUTOKEA: WASTANI

KIWANGO CHA ATHARI ZINAZOWEZA KUTOKEA: WASTANI


ATHARI ZINAZOWEZA KUJITOKEZA 


Baadhi ya makazi kuzungukwa na maji pamoja na ucheleweshwaji wa baadhi ya shughuli za uvuvi na usafirishaji.

Tafadhali zingatia na ujiandae

...............................................................


IJUMAA 22-01-2021

ANGALIZO la mvua kubwa limetolewa kwa baadhi ya maeneo ya mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma.


UWEZEKANO WA KUTOKEA: WASTANI

KIWANGO CHA ATHARI ZINAZOWEZA KUTOKEA: WASTANI


ANGALIZO la upepo mkali unaofikia kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayofikia mita 2, limetolewa kwa baadhi ya maeneo ya pwani ya Bahari ya Hindi (mikoa ya Tanga, Dar es salaam, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Lindi na Mtwara pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba.


UWEZEKANO WA KUTOKEA: WASTANI

KIWANGO CHA ATHARI ZINAZOWEZA KUTOKEA: WASTANI


ATHARI ZINAZOWEZA KUJITOKEZA 


Baadhi ya makazi kuzungukwa na maji pamoja na ucheleweshwaji wa baadhi ya shughuli za uvuvi na usafirishaji.

Tafadhali zingatia na ujianda.

...................................................

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news