TARI yaendelea kutoa elimu, kuonyesha bidhaa maonyesho yanayoendelea Dodoma
















Muonekano wa picha zikionyesha siku ya pili ya maonyesho ya kitaifa ya sayansi na teknolojia na ubunifu nchini yananayoendela jijini Dodoma, Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) inaendelea kuonyesha bidhaa zinazotengenezwa katika vituo vyake vyote nchini huku watafiti kutoka vituo 17 nchini wakiendelea kutoa elimu kwa wananchi mbalimbali. (Picha na TARI).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news