Watumishi wa Tume ya Utumishi wa Umma katika picha


Baadhi ya Maafisa wa Tume ya Utumishi wa Umma, kutoka kushoto Bw. Clement Pallangyo; Bibi Agness Kapfunsi; Bw. Amas Mahagala; Bibi Florence Kazuva; Bibi Saada Ibrahim; Bw. Robert Lwanji; Bibi Elizabeth Mabula na Bw. Richard Cheyo, katika picha ya pamoja leo, baada ya kuwahudumia Watumishi na wadau waliofika katika Ofisi ya Tume iliyopo Mtaa wa Luthuli Jijini Dar es Salaam, katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma kwa mwaka 2021. (Picha zote na Ahmad Michuzi- michuzi blog).
Baadhi ya Maafisa wa Tume ya Utumishi wa Umma, kutoka kushoto Bw. Clement Pallangyo; Bibi Agness Kapfunsi; Bw. Amas Mahagala; Bibi Florence Kazuva; Bibi Saada Ibrahim; Bw. Robert Lwanji; Bibi Elizabeth Mabula na Bw. Richard Cheyo, katika picha ya pamoja leo, baada ya kuwahudumia Watumishi na wadau waliofika katika Ofisi ya Tume iliyopo Mtaa wa Luthuli Jijini Dar es Salaam, katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma kwa mwaka 2021 ambayo yalianza Juni 16 na yanatarajiwa kufikia tamati Juni 23, mwaka huu.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here