Rais Samia awaacha kando Lengai Ole Sabaya, Kasesela na Simon Odunga

Na Mwandishi Diramakini

Katika uteuzi huo ambao umefanyika leo Juni 19, 2021 aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya ameachwa kando.
Mei 13, 2021 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan alimsimamisha kazi, Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazomkabili.

Wengine walioachwa katika uteuzi huo ni pamoja na Simon Odunga ambaye alikuwa mkuu wa Wilaya ya Rorya mkoani Mara.

Sambamba na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Iringa mkoani Iringa, Richard Kasesela.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news