TUME ya Kuchunguza Matukio Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29 mwaka 2025 imekutana kusikiliza baadhi ya waathirika wa matukio hayo wakiwemo wafiwa na majeruhi.Tukio hilo limefanyika Desemba 13, 2025 Katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam.







Tags
Kurasa za Magazeti
Kurasa za Mbele na Nyuma za Magazeti
Magazeti
Magazeti ya Leo
Magazetini
Magazetini leo
Yaliyojiri Magazetini Leo





























