RAIS SAMIA ALIPOWASILI IKULU YA KIGALI NA KUPOKEWA NA RAIS KAGAME NCHINI RWANDA LEO


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akikagua Gwaride rasmi la Jeshi la Rwanda alipowasili Ikulu Kigali mchini humo, leo Agosti 02,2021 kwa ajili ya kuanza ziara ya kiserikali ya Siku mbili kwa mwaliko wa Rais Kagame.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akiwa na mwenyeji wake Rais Paul Kagame wa Rwanda alipowasili Ikulu. Kigali mchini humo, leo Agosti 02,2021 kwa ajili ya kuanza ziara ya kiserikali ya Siku mbili kwa mwaliko wa Rais Kagame.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akitambulisha Ujumbe aliofuatana nao kwa mwenyeji wake Rais wa Rwanda Paul Kagame alipowasili Ikulu Kigali Nchini humo, leo Agosti 02, 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akiwa na mwenyeji wake Rais Paul Kagame wa Rwanda katika picha ya kumbukumbu, alipowasili Ikulu. Kigali mchini humo, leo Agosti 02,2021 kwa ajili ya kuanza ziara ya kiserikali ya Siku mbili kwa mwaliko wa Rais Kagame. (Picha na Ikulu)

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news