Ijue Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania

 

Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) iliundwa kwa Sheria ya Nguvu za Atomu Na. 7 ya Mwaka 2003 (Atomic Energy Act No.7 of 2003).Sheria ya Bunge Na. 7(2003) ilifuta Sheria Na.5 ya mwaka 1983 (The Protection from Radiation, No. 5 of 1983) iliyoanzisha Tume ya Taifa ya Mionzi (National Radiation Commission).

Sheria hii imeipa TAEC mamlaka ya kudhibiti matumizi salama ya mionzi nchini ikiwemo kuhamasisha matumizi salama ya teknolojia ya nyuklia nchini.

Ni kutokana na ukweli kwamba, teknolojia ya nyuklia inatumika katika sekta mbalimbali za kiuchumi na kijamii kama vile afya, kilimo, ufugaji, viwanda, maji na utafiti.

TAEC imepewa jukumu la kupima mionzi kutokana na sababu mbalimbali, kwani licha ya kuwa na faida nyingi za mionzi, isipotumika inavyotakiwa ni hatari ikiingia katika mnyororo wa chakula kwa sababu inatoa nishati toka katika kiini cha atomu ambayo haiwezi kuharibiwa kwa aina yoyote ile.


ABOUT TANZANIA ATOMIC ENERGY COMMISSION (TAEC)

The Tanzania Atomic Energy Commission (TAEC) was established by Parliament Act No. 7 of 2003 (The Atomic Energy Act. No.7 of 2003). Formerly known as the National Radiation Commission established by Parliament Act 5 of 1983 (The Protection from Radiation Act. No.5 of 1983)

The following are the responsibilities of the Commission

a) Controlling the safe use of radiation in the country.

b) To promote the safe use of nuclear technology

c) to conduct research and provide advice and information on Nuclear Science and Technology.

Our role


-To inspect all centers which uses radioactive sources in order to monitor the implementation of the Atomic Energy Act and its regulations?

-To issue permits for the importation, ownership, transportation and use of radioactive sources.

-To take sample and analyze radiation in all imported and exported foodstuff, fertilizers, animal foods and tobacco.

-To test environmental samples to identify radioactive contaminants in the environment.

-To measure the level of radiation on telephone towers and communications radars.

-To collect, transport and store radioactive material.

-Provide radiation monitoring service to employees working in radioactive areas.

-Conducting an air pollution testing station from the Radionuclides Monitoring Station (RN64).

-To coordinate various nuclear technology projects in the country.

To provide public education on the benefits and effects of nuclear technology.

To develop nuclear technology research for sustainable economic and social development.
To provide maintenance and services to all nuclear technology equipments such as X-Ray, CT-scan, and MRI. Learn more here>>>

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news