Picha: Mkutano wa Tume ya Utumishi wa Umma ulioanza leo Oktoba 25,2021 jijini Dodoma


Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma, Bw. Mathew M. Kirama akisaini nyaraka za wakati wa Mkutano wa Tume ulioanza leo Jijini Dodoma, kulia ni Kamishna wa Tume Mhe. Balozi (Mst.) John M. Haule, kushoto(aliyesimama ni Bw. Edwin E. Kalisa, Afisa Mwandamizi wa Tume. (Picha na PSC).
Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma, Mhe. Jaji Rufaa (Mst.) Dkt. Steven J. Bwana (kushoto) akizungumza jambo na Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma Bw. Mathew M. Kirama (kulia) , leo Jijini Dodoma kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Tume. (Picha na PSC).
MAKAMISHNA WA TUME YA UTUMISHI WA UMMA: Kamishna wa Tume Mhe. Balozi (Mst.) John M. Haule (kushoto) akisalimiana na Kamishna wa Tume Mhe. Khadija A. M. Mbarak, leo Jijini Dodoma, kabla ya Mkutano wa Tume ya Utumishi wa Umma ulioanza leo tarehe 25 Oktoba 2021. (Picha na PSC).
Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa UmmaJaji Rufaa (Mst.) Mhe. Dkt. Steven J. Bwana (kulia) akisalimiana na Kamishna wa Tume, Mhe. George Yambesi, kabla ya Mkutano wa Tume ulioanza leo Jijini Dodoma, wengine kushoto kwa Kamishna George Yambesi ni Waheshimiwa Makamishna wa Tume Alhaj Yahya Mbila na Mhe. Immaculate Ngwalle. ( Picha na PSC).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news