PICHA:Ufunguzi wa mafunzo ya siku tatu kwa watumishi wa Tume ya Utumishi wa Umma


UFUNGUZI WA MAFUNZO: Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma (PSC), Bw. Mathew Kirama (wa pili kutoka kushoto waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Watumishi wa Tume, kutoka kulia waliokaa ni Bw. Peleleja Masesa (Katibu Msaidizi), Bw. Enos Ntusso (Katibu Msaidizi) na kushoto ni Bw. John Mbisso, Naibu Katibu. Ni baada ya kufungua mafunzo ya siku tatu kwa watumishi wa tume kuhusu uchambuzi wa rufaa na malalamiko pamoja na Ukaguzi wa Rasilimali Watu katika Utumishi wa Umma, Oktoba 7, 2021 katika ukumbi wa mkutano wa Chimwaga jijini Dodoma. (Picha na PSC).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news