WASAFI MEDIA WAOMBA RADHI KWA MAUDHUI YAO KUHUSU YESU

Maudhui yaliyorushwa katika mitandao ya Kijamii, Novemba 1, 2021 yakiwa na kichwa Cha habari “Hata Yesu alifuata Wenye Pesa/Msituite Matapeli” yameonekana kuleta kashfa kwa waumini wa dini ya Kikristo.Mahojiano hayo yalikuwa kati ya mtangazaji Jordan Mwasha (Mchaga OG) na Daniel Shillah.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news