Miaka 60 ya Uhuru:Mbali na mazoezi, usafi Kahama Jogging tutachangia damu Hospitali ya Manispaa Desemba 9,2021

NA MWANDISHI DIRAMAKINI

ZIMEBAKI siku mbili, sisi Kahama Jogging kufanya jambo letu katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya Uhuru.
Sisi kwa pamoja tutafanya mazoezi ya viungo na Jogging siku ya tarehe 9 Desemba,2021.

Baada ya hapo kituo chetu cha mwishi kitakuwa Hospitali ya Manispaa Kahama mkoani Shinyanga.

Hapa kila mmoja wetu atakamata fagio na kuhakikisha tunasafisha maeneo yote ya hospitali.

Baada ya hapo sasa sote tutachangia damu kwa pamoja.#NjooTuokoeUhaikwaKuchangiaDamunaKahamaJogging
Ewe mkazi wa Kahama kamilisha Miaka 60 ya Uhuru kwa kuungana na Kahama Jogging tukafanye usafi Kisha tuchangie damu.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news