Simba SC yakosekana katika tano bora ya vinara wa mabao, Yanga SC yapiga kote kote

NA MWANDISHI DIRAMAKINI

SHIRIKISHO la Soka nchini Tanzania (TFF) limetoa orodha ya vinara wa mabao Ligi Kuu ya NBC 2021/2022 hadi kukamilika kwa mzunguko wa 11.

Kwa mujibu wa TFF, vinara walioingia tano bora kwa kufunga mabao mfanano kwa maana ya matano kila mmoja ni Reliants Lusajo wa Namungo FC, George Mpole wa Yanga SC, Jeremia Juma wa Tanzania Prisons na Vitalis Mayanga wa Polisi Tanzania FC.
Wakati huo huo, TFF imewataja waliopachika mabao manne kila mmoja kuwa ni Meddie Kagere wa Simba SC, Richardson Ng'ondya wa Mbeya City FC, Feisal Salum Toto wa Yanga SC na Juma Luizio wa Mbeya City FC.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news