Magazeti leo Machi 16,2026

Wizara ya Habari, Utamadun, Sanaa na Michezo imeagiza shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) kuhakikisha mfumo wa (VAR -Video Assistant Referee) unafungwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa pamoja na Uwanja wa Arusha mara baada ya kukamilika.
Hatua hiyo inalenga kupunguza malalamiko na changamoto zinazojitokeza katika maamuzi ya marefa wakati wa michezo, pamoja na kuongeza uwazi na haki katika mashindano na kuimarisha usimamizi wa michezo kuendana na viwango vya kimataifa katika uendeshaji wa mashindano ya soka.


Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here