Dkt.Possi asisitiza matumizi ya Tiketi Mtandao mbele ya Menejimenti ya LATRA

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Uchukuzi), Dkt.Ally Possi akisisitiza jambo kwa Menejimenti ya Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) wakati alipowatembelea  jijini Dar es Salaam.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Uchukuzi) Dkt.Ally Possi akiangalia moja ya leseni inayotolewa kwa magari ya biashara inayotolewa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) jijini Dar es Salaam, alipotembelea ofisi za mamlaka hiyo. Kulia ni Afisa Mfawidhi wa Mamlaka hiyo, Mkoa wa Dar es Salaam, Bi. Habiba Chambali.
Muonekano wa chumba maalum cha kufanyia usaili kwa madereva wanaopewa leseni za kuendesha magari ya biashara na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti usafiri Ardhini (LATRA), Gilliard Ngewe akifafanua jambo kwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Uchukuzi), Dkt. Ally Possi kuhusu eneo maalum la kufanyia usaili kwa madereva wanaoomba leseni za kuendesha magari ya biashara, wakati Naibu Katibu Mkuu huyo alipotembelea Ofisi za mamlaka jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), Gilliard Ngewe akifafanua jambo kwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Uchukuzi), Dkt.Ally Possi, kuhusu eneo maalum la kufanyia usaili kwa madereva wanaoomba leseni za kuendesha magari ya biashara, wakati Naibu Katibu Mkuu huyo alipotembelea ofisi za mamlaka hiyo jijini Dar es Salaam. (Picha na WUU).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news