TRA yaongeza muda kufaili Ritani na kulipa kodi ya PAYE na SDL

NA MWANDISHI DIRAMAKINI

MAMLAKA ya Mapato Tanzania imeongeza muda wa kufaili Ritani na kulipa kodi ya PAYE na SDL hadi Machi 9, 2022.
Hayo ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa umma Machi 7, 2022 jijini Dar es Salaam na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),Alphayo Kidata.

"Kwa hiyo, wafanyabiashara ambao hawakuweza kufanikiwa kufaili ritani na kufanya malipo hadi leo (Machi 7, 2022) wanashauriwa kutumia muda huu wa nyongeza kukamilisha zoezi hilo,"amefafanua Bw.Kidata kupitia taarifa hiyo.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news