Yanga yaupiga mwingi Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), yamtoa Mtanzania wa kwanza

NA MWANDISHI DIRAMAKINI

KLABU ya Yanga imempongeza Mwanasheria wake, Wakili Simon Patrick kwa kuteuliwa kwake kuwa mmoja wa Mawakili Wasaidizi wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC).
Wakili Simon ambaye ni Mkurugenzi wa Sheria na wanachama wa Klabu ya Yanga, anakuwa Mtanzania wa kwanza kuteuliwa katika nafasi hiyo, "hivyo kuweka historia yake binafsi, klabu na Taifa kwa ujumla".

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news