'Nimerudishiwa mali zangu nilizodhulumiwa, watoto tangu mume wangu afariki mwaka 2000'

NA MWANDISHI WETU

DUNIANI kuna mambo mengi sana, ambayo sisi binadamu tunakutana nayo,yapo mambo mazuri na yapo mambo mabaya.

Nasema hivyo kwa sababu, kuna siku ambayo wewe unakuwa kwenye shida,maumivu pamoja na tabu ila muda huo huo kuna mtu yeye anapitia katika furaha na amani kwa upande wake.

Ndiyo mzunguko wa dunia jinsi urivyo, ila maumivu mabaya sana ni yale ambayo yanasabishwa na binadamu mwenzako,maumivu hayo yanauma sana tena sana. Ungana na RUTH mkazi wa Morogoro kupata ushuhuda huu, endelea...

Ilikuwa mwaka 2000 ambapo mume wangu, alifariki na kuniacha na watoto wanne.Mtoto wetu wa nne alikuwa ana umri wa miaka nane.

Kabla ya mume wangu hajatoka duniani, ndugu zake walinipenda na kunijari sana kipindi kile kaka yao yupo hai ila tabu ilitokea pale alipofariki duniani ndipo msemo usemao “ukiyastaajabu ya mussa,utayaona ya firauni" uliponikuta na watoto wangu wanne.

Nasema hivyo kwa sababu ilikuwa ni vigumu kuamini kile kirichotokea.Baada maziko ya mume wangu, familia yake ilikaa chini na kuninyang'anya watoto wangu wote wanne,wakisema kuwa ni damu yao, hivyo watawalea wenyewe ila lengo lao kubwa lilikuwa si kulea watoto wangu bali walitaka kuchukua mali ya marehemu mume wangu.

Mume wangu aliacha nyumba tano za wapangaji, magari matatu ya kubeba mizigo,maduka mawili ya kuuza spea za magari pamoja na nyumba kubwa tuliyokuwa tunaishi na magari matatu ya kifahari.

Hivyo kila aliyechukua mtoto alipata gari,nyumba na vitu vingine kwa ufupi mimi nilipewa nyumba ambayo tulikuwa tunaishi na mume wangu,pia hiyo nyumba ilikuwa chini ya uangalizi wa mdogo wao wa mwisho.

Maamuzi hayo sikuweza kukubaliana nayo hata kidogo, kwa sababu kama mali nilizitafuta na mume wangu na kitendo cha kuninyang'anya watoto kiliniuma sana kwa sababu mimi ndiyo nilikuwa na jukumu la kulea wale watoto.

Mimi nilipanda gari na kurudi mjini kisha nikasubiri siku 40 zipite kwa ajili ya kumpa mume wangu heshima kule aliko.Siku hizo ziripotimia niliwafungulia kesi na kuomba watoto wangu warudishwe nyumbani pia mali zote za mume wangu wasiingilie hadi mimi nitakapotoka duniani.

Kesi ilichukua muda wa mwaka mmoja bila kupata mwafaka kwa sababu hakimu alikuwa anatoa tarehe ya kurudi kusikilizwa mahakamani na ikifika tarehe anaongeza mbele,ukawa kama mchezo wa kuja mahakamani na kurudi nyumbani, hamna kitu ninachokipata zaidi ya pressure ya kila mara.

Ndugu wa mme wangu walianza kutumia mali hizo vibaya sana na kuanza kutumia watoto wenyewe kubadilisha document za nyumba na vitu vingine, hata watoto pia wameambiwa kuwa mimi ni mbaya, ndiyo niliyesababisha kifo cha baba yao, wakati si kweli.

Ilifika hatua, hata nikienda mahakamani watoto hawataki kuniona wala kunisalimia kama mama yao.Siku zilisogezwa mbele hadi mahakama ikafika hatua ya kusema kuwa sitakiwi kusogelea watoto wale mpaka mtoto wangu wa mwisho atakapofikisha miaka 18, japo ambalo kwangu mimi kama mzazi lilizidi kuniumiza moyo wangu.

Mwaka wa tatu ulipotimia nikiwa bado ninashitakiana na ndugu wa mume wangu juu ya mali ya watoto wangu ndipo Shangazi yangu akaniambia kuwa amepata mtu wa kunisaidia kupata haki yangu na si mwingine ni Dokta Kiwanga.

Alinipatia namba ya simu ya Dokta Kiwanga ambayo ni +254 769404965, niriwasiliana na Dokta Kiwanga kisha nikafunga safari kutoka hapa kwetu Tanzania hadi Kenya-Kericho.

Nilipokelewa vizuri na Kiwangadoctors, japo nilikuta watu wengi sana,hivyo sikuwa na budi ya kusubiri zamu yangu ifike.

Zamu yangu ilipofika nilionana na Dkt.Kiwanga, kisha nikapata huduma nzuri na kuambiwa kuwa haki yangu nitapata kabla ya siku nne kuisha.

Nikiwa bado katika ofisi yao Kiwangadoctors walinieleza kuwa, wanashughulika vitu mbalimbali kama kumrudisha mpenzi wako,kupata cheo kazini,dawa ya nguvu za kiume,dawa ya biashara pamoja na kushinda michezo ya bahati nasibu.

Kisha nilitoka ofisini kwao na kurudi nyumbani Tanzania.Nilipofika tu, mashemeji zangu walinipigia simu na kuomba nije nichukue watoto wangu pia twende tukafute kesi mahakamani, kwa sababu haileti picha nzuri kwa familia yao.

Nilifanya kama warivyotaka hatimaye watoto wapo kwangu na kila haki yao ipo katika mikono yangu.

Wasilina na kiwangadoctors kwa namba +254 769404965 pia unaweza kuwatumia barua pepe kiwangadoctors@gmail.com na website yao www.kiwangadoctors.com ili upate mengi kuwahusu.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news