Ratiba ya uzinduzi wa Filamu ya Utalii (Tanzania Royal Tour), hizi ni faida chache




Faida za Royal Tour ni pamoja na kukuza utalii kwa kutangaza nchi Kimataifa, kuongeza pato la Taifa, hivyo kuimarisha uchumi.

Faida nyingine ni kuongeza fursa za ajira kwenye Sekta ya Utalii na sekta mbalimbali za uwekezaji, ulinzi wa rasilimali zetu, kubadilisha mtazamo wa baadhi ya alama za kihistoria za Tanzania, kukuza na kuenzi utamaduni wetu, hizo ni kwa uchache. Mambo mazuri yanakuja kupitia Royal Tour;

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news