🔴LIVE:Waziri Bashungwa akizungumzia kuhusu taarifa ya UKUSANYAJI wa Mapato ya Ndani ya Halmashauri

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR TAMISEMI), Mhe. Innocent Bashungwa akizungumza na vyombo vya habari kutokea Dodoma kuhusu taarifa ya UKUSANYAJI wa Mapato ya Ndani ya Halmashauri kwa kipindi cha Robo Tatu ya Mwaka wa Fedha 2021/2022.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news