Siku nne zaongezwa kuomba ajira za Ofisi ya Rais-TAMISEMI

Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Innocent Bashungwa ameongeza siku nne kwa waombaji wa Ajira Kada za Elimu na Afya hivyo kwa sasa mwisho wa kuomba ajira hizo ni Mei 8,2022 saa 5:59 usiku na sio Mei 4,2022 kama ilivyotangazwa hapo awali. Soma zaidi hapa>>>

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news