Dkt.Kiruswa awaeleza ukweli wananchi kuhusu Sheria ya Fidia Maeneo ya Uwekezaji

 Naibu Waziri wa Madini,Dkt.Steven Kiruswa amewaeleza wananchi wa Sengerema kuhusu Sheria ya Fidia Maeneo ya Uwekezaji nchini.

"Fidia unayolipwa inaendana na thamani ya eneo ulilopo, siyo thamani ya eneo unalotaka kuhamia, leo ukifidiwa ukiamua kwenda kununua eneo ambalo heka ni shilingi milioni 20 hiyo ni juu yako, ukiamua kwenda kununua eneo ambalo ardhi thamani yake ni laki moja hiyo ni juu yako, kwa sababu sheria ndiyo inayotuongoza tusimamie fidia kwa haki na uhalali wote kulingana na eneo ambalo linafanyiwa tathimini..

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news