🔴LIVE:Rais Samia Suluhu Hassan akizindua Mradi wa Maji wa Bilioni 15.7/- wa Kyaka-Bunazi

NA DIRAMAKINI

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizindua Mradi wa Maji wa Bilioni 15.7 wa Kyaka-Bunazi wilayani Missenyi Mkoa wa Kagera.Fedha zote zinatoka Serikali Kuu.

Mradi huu unatarajiwa kuwanufaisha zaidi ya wananchi 65,000 unatajwa kuwa wa kwanza wa aina yake kutumia chanzo cha maji cha Mto Kagera.

Huu ni mto ambao una historia ndefu ambao pia ndiyo chimbuko la jina la Mkoa wa Kagera, ambao hutiririsha maji yake kutoka Rwanda kupitia Kaskazini na kumwaga maji yake katika Ziwa Victoria.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news