Nilipoteza fedha kwenye Bet kabla ya kushinda fedha nyingi

NA MWANDISHI WETU

NAITWA Sailasi, mkazi wa Mbeya nakumbuka nilikuwa na kama shilingi 150,000 mkononi, hapo nilikuwa najichanga ili niweze kulipa kodi ya nyumba maana mwenye nyumba alikuwa akinipigia simu kila mara.

Lakini tayari hapo mama mwenye nyumba alikuwa amenipa siku tatu niwe nimempa shilingi 300,000 zake au niwe nimerudisha chumba chake.

Baada ya mawazo mengi na mipango mingi kufeli, nikajiwazia moyoni, kwanini nisi-bet?. Hapo kila mpango ulikuwa umeshindikana, nitafanya nini na shilingi 150,000 yangu?.

Basi mwanaume nikaingia kazini, nikaanda mkeka wangu wenye odds za uhakika, mzigo ukasoma laki tatu na nusu kama nitashinda katika utabiri wangu.

Ila sharti ni lazima niweke hela yote niliyonayo yaani laki moja na nusu, ikumbukwe kiwango changu kikubwa kabisa ku-bet ilikuwa shilingi 5,000, basi bana, nikajipa moyo na ile potelea mbali, nikaweka mkeka wangu.

Dah! nakumbuka ilikuwa asubuhi, ile kuweka tu na jamaa washachukua hela yao nikaanza kuumwa, mawazo yakaongezeka mara kumi yake, nikaanza kujilaumu kwanini nimefanya vile.

Ikabidi nipige simu kwa ile kampuni niliyobetia wanirudishie hela yangu ila wakagoma, niliwabembeleza sana aisee, tena niliwaambia hiyo shilingi 50,000 wachukue na wanirudishie shilingi 100,000 yangu lakini bado hawakunielewa. Jibu lao lilikuwa ni moja, hela ishaingia kwenye system na haiwezi kutoka na hivyo nisubiri majibu yangu.

Nakumbuka siku hiyo mchana sikula, nipo nawaza nafanyaje na hapo mkononi ndio sina hela kabisa, muda wa mechi nilikaa kitandani, katika zile mechi tatu nilizotabiri ushindi moja ilimalizika kwa sare hivyo fedha yangu ikawa imeliwa yote.

Nilijawa na mawazo sana, kama zali kesho yake nilikutana na rafiki yangu Moses, katika mazungumzo yetu aliniambia alifanikiwa kushinda shilingi 9.8 Milioni kwenye kubashiri soka na aliyemsaidia ni Dr. Kiwanga. Basi nilimuomba namba yake, alipatiia ambayo ni +254 769404965, nikampigia pale pale, alinijibu nisiwe na wasiwasi kwani kuanzia siku hiyo nitaanza kushinda katika Bet zangu.

Wikiendi iliyofuata nilitabiri michezo nane ya Ligi Kuu ya Uingereza kwa fedha ndogo tu shilingi 10,000 lakini nilishinda fedha nyingi sana kwa upande wangu, ilikuwa shilingi 660, 500 nilimtumia mama mwenye nyumba fedha yake na iiyobaki nikafanya maendeleo. Tangu hapo nimekuwa nikishinda fedha nyingi sana kwenye Bet zangu.

Kumbuka Dr. Kiwanga ana uwezo kumfanya mtu kuwa na bahati maishani mwake, kushinda katika michezo ya bahati nasibu, kukukinga na maadui zako, kukufanya ushinde migogoro kama ya ardhi, kuwa na mvuto wa kimapenzi, kuongeza mauzo katika biashara.

Pia anatibu magonjwa kama Kaswende, Kisonono, Kifua Kikuu, Presha na mengine mengi, kwa mawaziliano zaidi mtumie barua pepe; kiwangadoctors@gmail.com, tembelea tovuti yake; www.kiwangadoctors.com au piga simu +254 769404965.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news